Saturday, December 31, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA THELATHINI




RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________


SEHEMU YA THELATHINI!!

Kulikuwa na barabara iliyokuwa ikitoka barabara ya magari kwa urefu wa mita thelathini ndipo ulifikie lango hilo lililokuwa na mataa pamoja na mlango mwingine mdogo unaotumika kwa watu wanaoingi kwa miguu. Mazingira yake na jinsi ukuta ulivyokuwa mrefu ndiyo ulimpa hamasa Norbert

Friday, December 30, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA ISHIRINI NA TISA






RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________


SEHEMU YA ISHIRINI NA TISA!!
                "Kila kitu mipango tu mama Jerry ngoja kibarua kiishe halafu tutaongea vizuri" Norbert aliongea muda huo tayari alikuwa ameshamaliza kula, alinyanyuka kwenye kiti chake akaenda mahali lilipo eneo maalum ya kunawia mikono akanawa kisha karudi mezani abapo alimpiga busu Norene la shavuni.
   

Thursday, December 29, 2016

MJUE PROFESSA PENINA MHANDO MLAMA




MJUE PROFESSA PENINA MHANDO MLAMA


 
Professa Penina Mhando Mlama


      Awamu nyingine ya kipindi chetu cha Msanii wetu  katika  blogu yetu Maridhawa, ni wajibu wetu kukujulisha juu ya watu muhimu kwenye fasihi hii ya lugha ya Kiswahili. Ambao wana mchango mkubwa kisanaa na hadi kitaaluma. Hakika Tanzania ni yenye hazina nyingi katika Sanaa amabazo zimekuwa hazijulikani miongoni mwa Watanzania wenyewe, au hata Wanafasihi wa kizazi hiki

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE







RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________


SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE!!
.
       "What! Kamudu msaliti ni wewe!" Rais Zuber aliongea kwa mshangao alkini alijikutra akinyoosha mikono juu haraka baada ya Kamudu kumuelekezea bastola yake aina ya revolver yenye uwezo mkubwa sana, watu wote waliomo humo ndani nao walitoa silaha zao wakamuelekezea Kamudu. Kamudu aliishikilia bastola hiyo kisha akamtazama kila mmoja aliyekuwa amemuolekezea bastola, alimeza funda moja la mate kisha akakaza mikono yake barabara na kidole kkwa kimeshika kifyatulio.

Wednesday, December 28, 2016

SEHEMU YA ISHIRINI NA SABA



RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________


SEHEMU YA ISHIRINI NA SABA!!
    Walikuwa wakiongea na kucheka kwa furaha sana kila walipokuwa wakiiangalia Luninga jinsi ilivyokuwa ikirusha matangazo juu ya kinachoendelea Magogoni. Hakika hatua ya ushindi wa mwisho ndiyo waliiona ilikuwa wakiikariia kuifikia na vikwazo vilikuwa vikiondoka kimoja baada ya kingine, walibadilisha chaneli mbalimbali za luninga bado habari ilikuwa ni ileile hata walipoweka chaneli za nje ya nchi.
    

Tuesday, December 27, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA




RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________



SEHEMU  YA ISHIRINI NA SITA!!
                 "nasema niachie mimi huyu mshenzi nimtie adabu" Benson aliongea kwa hasira huku akilia.
                  "Come on Benson huyu reporter ana kosa gani?!" Thomas alimuuliza kwa sauti ya juu, muda huo huo saa ya Norbert iliyokuwa ipo mikononi mwa Santos ilitoa mlio kisha ikawaka taa

Monday, December 26, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO



RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________



SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO!!
              "N001 ndiye aliyemuua Benjamin wangu" Josphine alijibu huku akijifuta machozi, kisha akaanza kufikiria tukio zimalililotokea hadi Benjamin akauawa na Norbert. Alikumbuka busurefu alilopigwana Norbert kabla hajapigwa na kitako cha bastola, maneno aliyomuambia yalijirudia kwenye kichwa chake na hapo ndipo hasira dhidi ya Norbert ilipozidi akbaki akihema.
    

Sunday, December 25, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE


HERI YA CHRISMAS  KWA MASHABIKI WETU WOTE WENYE  KUSHEREKEA SIKUKUU HIII

RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________



SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE!!!
Alipomaliza kuumwaga unga wote chini alimtazama Richard ambaye alikuwa hana fahamu kisha akaachia tabasamu, alirudisha macho yake kwenye kioo cha simu na kukuta ule unga ulikuwa

Saturday, December 24, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA ISHIRINI NA TATU






RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________




SEHEMU YA ISHIRINI NA TATU!!                                                                                                                                

     Majira ya saa tisa kasoro robo misafara hiyo tayari ilikuwa imeshawasili katika eneo la Pugu ambalo kulikuwa kumefungwa maturubai na viti kwa ajili ya kuketi viongozi mbalimbali, dakika kumi baadaye gari lililobeba mwili wa Jenerali Kulika liliwasili na watu aote walisimama wakati jeneza liliwa linashushwa ndani ya gari hilo. Maaskari wa JWTZ walewale wenye vyeo vya Brigadia jenerali

Friday, December 23, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILI





RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA



______________+18__________________



SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILI!!

    Huduma ya kwanza kwa Josephine ilianza kutolewa kwa haraka huku mawasiliano yakifanywa kwa wakubwa zao, ndani ya dakika kadhaa tayari walikuwa wameshasambaza mawasiliano kwa wenzao wote ingawa waligwaya zaidi katika kusambaza taarifa hiyo. Kugwaya kulitokana na Wilson kuipiga namba ya mzungu aliyekuwa yupo chini ya kina Norbert ili ampatie taarifa, maneno aliyoyasikia kwenye simu hiyo yalimfanya aibamize chini kwa nguvu simu yake ya kisasa aliyoinunua kwa gharama.

              "Aaaargh! N001 Tenaa!" Wilson aliongea kwa ghdhabu pasipo kuijali simu yake ambayo ilik

Thursday, December 22, 2016

MJUE PROFESSA AMANDINA LIHAMBA



MJUE  PROFESSA AMANDINA LIHAMBA


Professa Amandima Lihamba



   Natumai mu wazima na mnaendelea vyema na majukumu ya ujenzi wa taifa. Leo  katika siku nyingine ndani ya blogu ya Maridhawa, ni vyema tukawajulisha juu ya wanafasihi katika kipindi

Sunday, December 4, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA





RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________



SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA!!

            "Usiwe na hofu Farida tutakutana siku nyingine ngoja nikupe ya matumizi, asubuhi wewe nenda chuo tu ukaendelea na masomo" Wilson aliongea huku akivaa nguo zake, alipomaliza aliingiza mkono mfukoni akatoa kitita cha pesa ambacho alimpatia Farida kisha akambusu mdomoni binti

Saturday, December 3, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA ISHIRINI




 
RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________




      SEHEMU YA ISHIRINI
    Ilikuwa ni siku maalum ya kukutana na Josphine tangu alipoagana naye kwa mara ya mwisho siku ya jumamosi, pia zilikuwa zimebaki siku tatu na masaa mawili nchi ya Tanzania iingie katika mikono ya kijeshi chini ya Luteni Jenerali Ibrahim.

Friday, December 2, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA KUMI NA TISA



 
RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________




    SEHEMU YA KUMI NA TISA!!
   Thomas na Santos walienda hadi kwenye ile teksi  wakaingia bila  taarifa, Thomas aliingia kiti  cha nyuma na Santos akaingia kiti cha mbele lakini hawakumkuta Norbert. Dereva teksi alibaki akiwashangaa wageni ambao walimtisha na alihitaji kujihami kwani ni kawaida madereva teksi kutembea na silaha kwa usalama wao, aliingiza mkono chini ya kiti chake atoe silaha kwa haraka lakini aliwahiwa na kabali ya Thomas iliyokuwa ya haraka kushinda haraka yake. Muda huo ndiyo yule mwanamke anayetafuta gunia lake lililochu

Thursday, December 1, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA KUMI NA NANE




RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________




SEHEMU YA KUMI NA NANE!!

    Majira saa kumi alasiri aliwasha simu yake ambayo aliizima kutokana na kazi zake, muda huo huo alianza safari ya kuiacha wilaya ya Karatu ili aende uwanja wa ndege wa Arusha aweze kurudi jijini Dar es salaam.

Wednesday, November 30, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA KUMI NA SABA





RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________




SEHEMU YA KUMI NA SABA

               "Albert mwana wa Mungu wasalimie huko mbinguni maana ndani ya dakika tatu bomu hili ninaloliweka mbele yako litasambaratisha viungo vyako vyote" Jack Shaw aliongea huku akimuita kwa jina la bandia alilojiita Norbert, wote kwa pamoja walicheka kisha wakaingia kwenye gari wakaondoka  kwa umbali wa mitaa takribani mia tatu halafu wakasimama.

Tuesday, November 29, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA KUMI NA SITA





RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________


SEHEMU YA KUMI NA SITA!!
    Mtu huyo ndiye aliyekuwa anawasubiri hapo jambo ambalo haliwezekani, haikutokea kwa mtu kama huyo mwenye msimamo mkali amsubiri Askofu Valdermar tena akionekana ni mchangamfu sana.

Monday, November 28, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA KUMI NA TANO



RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________



SEHEMU YA KUMI NA TANO!!

           "Shit! Leopard Queen you have to be careful(Shit! Leopard Queen unatakiwa uwe mwangalifu)" Panther aliongea.

       

Sunday, November 27, 2016

MPYA! MPYA!




KIONJO KWA WALE WAPENZI WA RIWAYA ZA KICHAWI



DAR MPAKA SONGEA

“Shenzi kabisa nyinyi si wabishi sasa tune kama mtafika” Bibi yake Nyoni alisema huku akiweka macho yake kwenye maji yaliyopo ndani ya chungu.
Ndege iliyokuwa ikitumiwa na kina Nyoni ilionekana ikiyumba kila upande. Huku maji yaliyopo

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA KUMI NA NNE



RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________





    SEHEMU YA KUMI NA NNE!!

     Mfumo huo huwezi kuweka P ambayo ni parking bila kuivuka  R ambayo ni  reverse yaani gia ya kurudi nyuma, Norbert alipoona geti lililofunguluwa lipo usawa wake alirudisha gia kama anaipeleka parking na alivyofika R alifanya kitu ambacho Leopard Queen hakutarajia kama anaweka kukifanya kwa muda huo.

Saturday, November 26, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA KUMI NA TATU






RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________





    SEHEMU YA KUMI NA TATU!!

             "Yuko wapi Dokta Hilary" Afisa mteule huyo alimuuliza mfanyakazi huyo ambaye alianza kutetemeka kwa uoga.

             "ni mimi niwasaidie nini?" Sauti kutoka ndani ya nyumba  hiyo ilisikika na hapo wanajeshi wote wakaingia wakimsukuma msichana huyo wa kazi, waliingia ndani wakamkuta Dokta Hilary akiwa kasimama na mkewe Irene akiwa na mavazi ya  kulalia.

             "Moses yupo wapi"Afisa mteule huyo daraja la pili ambaye alijulikana kutokana na kuvaa cheo mkononi kilicho na umbo kama la saa yenye alama ya mwenge alimuuliza Dokta Hilary huku wenzake wakimnyooshea bunduki kwa tahadhari.

Friday, November 25, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA KUMI NA MBILI





RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________





         SEHEMU YA KUMI NA MBILI!!

               "Afuuu Nor unaanza sasa wakati mwenzako nimechoka sana kazi yako siyo ndogo" Jamila aliongea kisha akambusu Norbert kwa mara ya mwisho akamuambia, "haya mpenzi wahi".

      Norbert hakuchelewa alitoka upesi chumbani humo akimuacha Jamila ndani na alirudi katika chumba ambacho alikuwepo Josephine amelala, alipoingia ndani hakumkuta Josphine zaidi ya kusikia

Thursday, November 24, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA KUMI NA MOJA




RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA



______________+18__________________



        SEHEMU YA KUMI NA MOJA!!

     Mguso wa kiganja chake kwenye paja ulisababisha  Josephine ageuke kukitazama kiganja cha Norbert kisha akainua macho juu kumtazama Norbert, macho ya Josephinee yalikutana na macho ya Norbert ambayo yalikuwa ysmeshazungumza kitu ingawa kwake ilikuwa ngumu sana kukiri kuwa ameelewa lugha ya macho ya Norbert kutokana na kutotaka kuonekana mrahisi.

Wednesday, November 23, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA KUMI




 RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA


    SEHEMU YA KUMI!!
   Safari yake ya kasi iliishia kwenye hotel ya Kangaroo akaingiza gari ndani kwa kasi,
alienda hadi kwenye maegesho ya ndani ya hotel  akasimamisha gari halafu akalizima.

Tuesday, November 22, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA TISA




RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA



SEHEMU YA TISA!!

             "Mama" Moses aliita kisha akaendelea kuonges, "pole sana mama yangu".

    Maneno hayo yalimfanya mke wa Jenerali Kulika aanze kulia kwa uchungu huku akitamka maneno yenye kumlaumu muumba kwa kumchukua mume wake kipenzi, wote kwa pamoja walimuacha alie mpaka akanyamaza akawa kainamisha uso wake kwa majonzi.

Monday, November 21, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA NANE





 RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759
           +255788602793

WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




  SEHEMU YA NANE!!

   Mshutuko alioupata ulikuwa siyo wa kawaida kutokana na mavazi nadhifu meusi aliyovaa Moses na utulivu aliokuwa nao Moses baada ya kumuona adui yake ambaye akipatwa na mshtuko mkubwa sana ambao ulimfanya huyo mvamizi aone kuwa alikuwa akitazamana na kiumbe asiyekuwa wa kawaida ambaye muda huo alikuwa anatabasamu tu baada ya miale ya kurunzi kutua katika uso wake.

Sunday, November 20, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA SABA


                                          


 RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA



SEHEMU YA SABA!!
      "Brother kumbuka samaki hutegwa kwa chambo wala hawezi kutegwa kwa ulimbo, so we have the trap. Leopard Queen atakuambia vizuri, Panther wa pili aliongea kisha akawatazama Leopards waliobaki ambaye mmoja  alikuwa ni mwanamke mrembo sana akiwa amesimama kikakamavu 

Saturday, November 19, 2016

WAKAL WA WAGIZA SEHEMU YA SITA



 RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA



    SEHEMU YA SITA!!
          "Ninja" Yule mzee alisema na Norbert akamtazama kwa tabsamu lisiloonesha furaha, yule mzee aliiruka meza kwa sarakasi akapambane na Norbert ana kwa ana lakini Sarakasi aliyoipiga

Friday, November 18, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA TANO


 RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTEKWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA



SEHEMU YA TANO!!
  Alikata simu kisha akaihifadhi namba hiyo kwenye simu ya Josephine akamrudishia  huku akiwa anatabasamu.

Thursday, November 17, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA NNE



        
 RIWAYA: WAKALA WA GIZA


MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




                     SEHEMU YA NNE!!
      Wakati Moses akiwa anaongea na msaidizi ilikuwa tayari ni mida ya saa tisa na nusu ambao ni muda kutoka kazini kwa baadhi ya wafanyakzi wa mashirika mbalimbali, Norbert muda huo alikuwa yupo ndani ya gari yake aina ya suzuki Escudo akiwa ameegesha kando ya barabara akionekana alikuwa navuta subira ya jambo ambalo lilimfanya awepo hapo.

Wednesday, November 16, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA TATU



     

 RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

       SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




     SEHEMU YA TATU!!

           "nafikiri tu..." Moses aliongea lakini alishindwa kumalizia kauli yake baada ya simu ya Norbert kuita, Norbert alizuia Moses asiongee kisha akapokea simu akasikiliza bila kusema kitu hadi ikakatwa.

     Aliirudisha aliweka simu yake kisha katikitisa kichwa chake  halafu akavuta pumzi kwa nguvu akaiachia akmtazma Moses.

Tuesday, November 15, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA PILI





 RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA



    SEHEMU YA PILI!!

     Mzee huyu ulipofunguliwa mlango alionesha kutojali ndiyo alijigeuza upande wa ukutani wa godoro alilolalia akionesha ni kiburi sana. Jambo hilo lilimuudhi sana askari aliyefungua mlango hadi akmfuata akampiga rungu la kwenye paja lilomfanya mzee huyo augulie maumivu kisha akamvuta kwa nguvu.

Monday, November 14, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA KWANZA




    RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843



SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA

Sunday, November 13, 2016

TANGAZO! TANGAZO!

imehamishiwa facebook





     Tuwaombe radhi kwanza kwa kuwa kimya sana kwa kipindi kirefu, kilichosababisha Riwaya ya SHUJAA ikwame muendelezo wake. Ndugu  Mashabiki wetu hivi sasa tumerejea tena kwa nguvu kubwa, tukiwa na riwaya hii mpya kabisa.

    Riwaya iliyokuwa hapo awali, hivi sasa itahamishiwa Facebook kwenye ukurasa wetu wa Riwaya Maridhawa.  

   Huko imeanza upya na itaendelea hadi ilipoishia huku, ukihitaji kuifuatilia unaombwa kwenda kwenye ukurasa wetu huko. Utaweza kuianza upya hadi iliposhia, hujachelewa sana hivi sasa ipo sehemu ya 10. 

Monday, June 27, 2016

SHUJAA SEHEMU YA THELATHINI

RIWAYA: SHUJAA


MTUNZI: Hassan O Mambosasa

SIMU:+255713776843
+255762219759

WHATSAPP:+255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU
MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA
AFYA NJEMA ILIYONIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA
HII KWA MARA NYINGINE




SEHEMU YA THELATHINI!!
Baada ya kutoka katika eneo hilo hakuwa na mahala pengine pa kwenda zaidi ya kwenda kuzunguka katika mtaa mwingine kama mzururaji, alizunguka katika kila mitaa na hatimaye akarudi kule kwenye mtaa aabao alikuwa ameegesha gari lake. Hapo alisaini kitabu kuwa ameshachukua gari na aliamua kuondoka huku akiwa amejipongeza kwa hatua nzuri aliyokuwa amefikia ndani ya siku hiyo tangu aanze kazi yake hiyo

Sunday, June 26, 2016

SHUJAA SEHEMU YA ISHIRINI NA TISA

RIWAYA: SHUJAA


MTUNZI: Hassan O Mambosasa

SIMU:+255713776843
+255762219759

WHATSAPP:+255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU
MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA
AFYA NJEMA ILIYONIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA
HII KWA MARA NYINGINE




SEHEMU YA ISHIRINI NA TISA!!
"Poa" Moses aliitikia huku akizipokea funguo za gari, Hilary aliondoka akimuacha Moses akimaliza kujiandaa.

Saturday, June 25, 2016

SHUJAA SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE

RIWAYA: SHUJAA


MTUNZI: Hassan O Mambosasa

SIMU:+255713776843
+255762219759

WHATSAPP:+255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU
MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA
AFYA NJEMA ILIYONIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA
HII KWA MARA NYINGINE







SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE!!
"Annie rafiki yangu nimekukosea nini mimi?" Viktoria aliuliza huku akilia kwa uchungu.
"hujanikosea kitu ila mdogo wako kapenda nilipopenda ndiyo kosa lake linalokufanya uteseke, pia tabia ya kupiga makelele humu haitakiwi na nikisikia unagoma kula nakata pua hiyo. Chukua chakula na ule upesi sasa hivi" Annie aliongea kwa ukali na Viktoria akasogea hadi kwenye meza iliyopo humo chumbani akachukua chakula akaanza kula.

Friday, June 24, 2016

SHUJAA SEHEMU YA ISHIRINI NA SABA

RIWAYA: SHUJAA


MTUNZI: Hassan O Mambosasa

SIMU:+255713776843
+255762219759

WHATSAPP:+255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU
MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA
AFYA NJEMA ILIYONIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA
HII KWA MARA NYINGINE



SEHEMU YA ISHIRINI NA SABA!!

"He! Kulikoni mbona unasonya hivyo hadi humu ndani tunakusikia?" Mama Andrew alimuuliza Annie baada tu ya kuingia humo ndani na kumfanya Annie ashtuke ingawa hakuonesha kama kashtuka.
"mama huyo mwanao mimi dada yake ananigeza bibi yake kwa jinsi anavyonitania" Annie alilalamika kwa maigizo na kumfanya mama yake acheke.

Thursday, June 23, 2016

SHUJAA SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA

RIWAYA: SHUJAA


MTUNZI: Hassan O Mambosasa

SIMU:+255713776843
+255762219759

WHATSAPP:+255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU
MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA
AFYA NJEMA ILIYONIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA
HII KWA MARA NYINGINE



SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA!
Taarifa ya kutoonekana kwa binti yake aliitoa upesi katika kituo cha polisi na suala hilo likaanza kufanyiwa kazi upesi, hadi saa tano usiku inaingia Mzee Bernard hakuwa amelala na wala hakuwa amekula kutokana na suala hilo. Alikuwa yupo nyumbani kwake na kundi kubwa la maaskari walikuwa wakifanya mahojiano na familia yake, mitambo ya kipolisi iliunganishwa na tarakilishi baada ya juhudi zote kugonga mwamba na zoezi la kutafuta mahali simu ilipo kwa kutumia GPS  (Global positioning system) ndiyo likafuata baada ya askari wa jeshi la polisi kubainishiwa simu ya Viktoria ilikuwa imeunganishwa na GPS.

Wednesday, June 22, 2016

SHUJAA SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO

RIWAYA: SHUJAA
MTUNZI: Hassan O Mambosasa
SIMU:+255713776843
+255762219759
WHATSAPP:+255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA AFYA NJEMA ILIYONIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII KWA MARA NYINGINE





SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO!!
 Annie alipoona kile alichoekewa na Moses alijikutaanakaa chini kwenye zulia la sebuleni hapo bilakujitambua, alibaki akiwa anakodolea luninga hukuakiwa haamini kwa kile alichokiona.


Tuesday, June 21, 2016

SHUJAA SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE

RIWAYA: SHUJAA


MTUNZI: Hassan O Mambosasa

SIMU:+255713776843
+255762219759

WHATSAPP:+255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU
MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA
AFYA NJEMA ILIYONIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA
HII KWA MARA NYINGINE




SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE!!
Alibiringita hadi pembeni ya ukuta wa nyumba kisha akatulia gizani kwa nusu dakika akiangalia mazingira yalivyo, aliporidhika pako kimya akasogea taratibu ulipo mlango  wa kuingilia ndani kisha akanyonga kitasa cha mlango huo taratibu lakini ulionekana umefungwa kwa ndani. Mlango huo ulionekana ulikuwa umefungwa kwa ndani na ikamlazimu atumie ufunguo malaya kufungulia mlango huo kisha akaingia ndani baada ya mlango kufunguka, aliufunga vile kisha akaanza kutembea taratibu kwani ndani kulikuwa na giza kutokana na taa kuzimwa.

Monday, June 20, 2016

MJUE PROFESSA ABDULRAZAK GURNAH

Abdulrazak Gurnah(kazaliwa 1948)




    Siku nyingine tena baada ya kurudi kwa nguvu nyingi mno tangu tulipopata changamoto za hapa  na pale ambazo zimetuweka nje ya fani yetu kwa muda mrefu mno. Leo hii  na kuendelea kwa kila jumatatu ndani ya

NSUNGI

RIWAYA:  NSUNGI
MTUNZI; HASSAN O MAMBOSASA
MAHALI: TANZANIA





       SURA YA KWANZA


******KIONJO*****


Nuru pekee iliyoonekana kuangaza anga ilikuwa ni Mbalamwezi kutokana na kuwepo kwa kiza kizito sana, ilikuwa ni majira ya usiku sana katika eneo la makaburini sehemu yenye mti mkubwa sana. Mti huo ulijenga mazingira  ya kutisha katika muda huo wa usiku , kutisha kwa mazingira hayo hakukuwafanya waliopo eneo hilo  kutishika na giza hilo la makaburini

SHUJAA SEHEMU YA ISHIRINI NA TATU

RIWAYA: SHUJAA


MTUNZI: Hassan O Mambosasa

SIMU:+255713776843
+255762219759

WHATSAPP:+255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU
MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA
AFYA NJEMA ILIYONIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA
HII KWA MARA NYINGINE


SEHEMU YA ISHIRINI NA TATU!!

Baada ya nusu saa tangu azinduke mlango wa chumba hicho ulifunguliwa na taa zikawaka Norbert aliingia akiwa na uso wenye tabasamu, Scott alipomuona alishutuka sana hadi Norbert mwenyewe akagundua.
"hatimaye upo katika uwanja wangu wa nyumbani Scott" Norbert aliongea huku akitabasamu.
"Kaila wewe ni mwandishi wa habari msafi utanikamataje hapa wakati nimekuja kuisadia nchi yenu" Scott aliongea.

Friday, June 17, 2016

SHUJAA SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILI



 RIWAYA: SHUJAA


MTUNZI: Hassan O Mambosasa

SIMU:+255713776843
+255762219759

WHATSAPP:+255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU
MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA
AFYA NJEMA ILIYONIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA
HII KWA MARA NYINGINE




SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILI!!

Dereva teksi huyu aliongeza mwendo na alipokaribia Tegeta alivua kiatu cha mguu wa kushoto  makusudi, hali ya hewa ya humo ndani ilibadilika ghafla ikawa ni harufu ya uvundo mzito iliwa imetawala.
"mmh! Gari yako iko nuka harufu baya baya" Scott aliongea kiswahili kibovu cha kuigiza huku akibana pua kutokana na harufu hiyo.
"Usijali bosi ngoja nikuwekee airfresh kuiondoa hiyo" Dereva aliongea huku akifungua mkebe uliokuwa pembeni yake akatoa chupa ya uturi wa kuweka harufu nzuri  katika gari, aliupuliza ule uturi sehemu mbalimbali hadi harufu za uvundo wa viatu ikatoka.
"bosi hapo vipi?" Alimuuliza Scott baada ya kupuliza uturi huo.
"hapo safi kabi.." Scott alijibu lakini alidhindwa kumalizia sentensi yake akajikuta amepitiwa na usingizi mzito wa ghafla.
"Scott umekwisha wewe" Dereva wa teksi aliongea huku akizidi kuongeza mwendo wa gari kuitafuta Mbezi akiiacha Tegeta.

Thursday, June 16, 2016

SHUJAA SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA





 RIWAYA: SHUJAA


MTUNZI: Hassan O Mambosasa

SIMU:+255713776843
+255762219759

WHATSAPP:+255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU
MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA
AFYA NJEMA ILIYONIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA
HII KWA MARA NYINGINE



SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA!!

 Baada ya dakika ishirini ving'ora vya magari ya polisi vilianza kusikika vikitokea niia iendayo Mwenge, viliposikika kwa karibu vijana hawa wa makundi yote mawili walipanda magari wakatokea kuelekea njia iendayo Bagamoyo kwa kasi sana. Baada ya wao kuondoka yule kijana aliyewasaidia kina Moses alinyanyua kiti cha dereva akakiweka sawa kisha akawasha gari.
"msiinuke kaeni hivyohivyo maana hii ni hatari kwenu" Aliwaambia kina Moses ambao walianza kuinua vichwa vyao juu, Yule kijana aliweka gia kisha akatembea  pembeni ya barabara hadi akalivuka eneo la tukio. Aliingiza gari barabarani kisha akaondoka kuelekea Mwenge baada ya kuliacha mbali eneo ambalo awali liligeuka uwanja wa vita.

Friday, March 4, 2016

SHUJAA SEHEMU YA ISHIRINI










RIWAYA: SHUJAA


MTUNZI: Hassan O Mambosasa

SIMU:+255713776843
+255762219759

WHATSAPP:+255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU
MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA
AFYA NJEMA ILIYONIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA
HII KWA MARA NYINGINE



SEHEMU YA ISHIRINI!!