Wednesday, November 25, 2015

TANGAZO! TANGAZO!

Bado nawathamini wasomaji wangu popoote mlipo, kuonesha kuwathamini kwangu nimeamua kuingiza kitabu cha kielektroniki cha Dhahama katika mtandao wa kimataifa wa Amazon. Wale waliopo mbali na nchi ya Tanzania na wanakihitaji kitabu hiki waweze kukisoma wanaweza kukinunua huko kwa gharama nafuu kabisa iliyoorodheshwa hapo. Kitu cha kufanya ni kuingia amazon.com halafu search Dhahama utakipata hapo, kukisoma ni vizuri ukawa na app ya kufungua ebook kwa wale watumiaji wa smartphone utaipata ndani ya playstore.

NI HAYO TU

No comments:

Post a Comment