Wednesday, November 30, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA KUMI NA SABA





RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________




SEHEMU YA KUMI NA SABA

               "Albert mwana wa Mungu wasalimie huko mbinguni maana ndani ya dakika tatu bomu hili ninaloliweka mbele yako litasambaratisha viungo vyako vyote" Jack Shaw aliongea huku akimuita kwa jina la bandia alilojiita Norbert, wote kwa pamoja walicheka kisha wakaingia kwenye gari wakaondoka  kwa umbali wa mitaa takribani mia tatu halafu wakasimama.

Tuesday, November 29, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA KUMI NA SITA





RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________


SEHEMU YA KUMI NA SITA!!
    Mtu huyo ndiye aliyekuwa anawasubiri hapo jambo ambalo haliwezekani, haikutokea kwa mtu kama huyo mwenye msimamo mkali amsubiri Askofu Valdermar tena akionekana ni mchangamfu sana.

Monday, November 28, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA KUMI NA TANO



RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________



SEHEMU YA KUMI NA TANO!!

           "Shit! Leopard Queen you have to be careful(Shit! Leopard Queen unatakiwa uwe mwangalifu)" Panther aliongea.

       

Sunday, November 27, 2016

MPYA! MPYA!




KIONJO KWA WALE WAPENZI WA RIWAYA ZA KICHAWI



DAR MPAKA SONGEA

“Shenzi kabisa nyinyi si wabishi sasa tune kama mtafika” Bibi yake Nyoni alisema huku akiweka macho yake kwenye maji yaliyopo ndani ya chungu.
Ndege iliyokuwa ikitumiwa na kina Nyoni ilionekana ikiyumba kila upande. Huku maji yaliyopo

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA KUMI NA NNE



RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________





    SEHEMU YA KUMI NA NNE!!

     Mfumo huo huwezi kuweka P ambayo ni parking bila kuivuka  R ambayo ni  reverse yaani gia ya kurudi nyuma, Norbert alipoona geti lililofunguluwa lipo usawa wake alirudisha gia kama anaipeleka parking na alivyofika R alifanya kitu ambacho Leopard Queen hakutarajia kama anaweka kukifanya kwa muda huo.

Saturday, November 26, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA KUMI NA TATU






RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________





    SEHEMU YA KUMI NA TATU!!

             "Yuko wapi Dokta Hilary" Afisa mteule huyo alimuuliza mfanyakazi huyo ambaye alianza kutetemeka kwa uoga.

             "ni mimi niwasaidie nini?" Sauti kutoka ndani ya nyumba  hiyo ilisikika na hapo wanajeshi wote wakaingia wakimsukuma msichana huyo wa kazi, waliingia ndani wakamkuta Dokta Hilary akiwa kasimama na mkewe Irene akiwa na mavazi ya  kulalia.

             "Moses yupo wapi"Afisa mteule huyo daraja la pili ambaye alijulikana kutokana na kuvaa cheo mkononi kilicho na umbo kama la saa yenye alama ya mwenge alimuuliza Dokta Hilary huku wenzake wakimnyooshea bunduki kwa tahadhari.

Friday, November 25, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA KUMI NA MBILI





RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________





         SEHEMU YA KUMI NA MBILI!!

               "Afuuu Nor unaanza sasa wakati mwenzako nimechoka sana kazi yako siyo ndogo" Jamila aliongea kisha akambusu Norbert kwa mara ya mwisho akamuambia, "haya mpenzi wahi".

      Norbert hakuchelewa alitoka upesi chumbani humo akimuacha Jamila ndani na alirudi katika chumba ambacho alikuwepo Josephine amelala, alipoingia ndani hakumkuta Josphine zaidi ya kusikia

Thursday, November 24, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA KUMI NA MOJA




RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA



______________+18__________________



        SEHEMU YA KUMI NA MOJA!!

     Mguso wa kiganja chake kwenye paja ulisababisha  Josephine ageuke kukitazama kiganja cha Norbert kisha akainua macho juu kumtazama Norbert, macho ya Josephinee yalikutana na macho ya Norbert ambayo yalikuwa ysmeshazungumza kitu ingawa kwake ilikuwa ngumu sana kukiri kuwa ameelewa lugha ya macho ya Norbert kutokana na kutotaka kuonekana mrahisi.

Wednesday, November 23, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA KUMI




 RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA


    SEHEMU YA KUMI!!
   Safari yake ya kasi iliishia kwenye hotel ya Kangaroo akaingiza gari ndani kwa kasi,
alienda hadi kwenye maegesho ya ndani ya hotel  akasimamisha gari halafu akalizima.

Tuesday, November 22, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA TISA




RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA



SEHEMU YA TISA!!

             "Mama" Moses aliita kisha akaendelea kuonges, "pole sana mama yangu".

    Maneno hayo yalimfanya mke wa Jenerali Kulika aanze kulia kwa uchungu huku akitamka maneno yenye kumlaumu muumba kwa kumchukua mume wake kipenzi, wote kwa pamoja walimuacha alie mpaka akanyamaza akawa kainamisha uso wake kwa majonzi.

Monday, November 21, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA NANE





 RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759
           +255788602793

WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




  SEHEMU YA NANE!!

   Mshutuko alioupata ulikuwa siyo wa kawaida kutokana na mavazi nadhifu meusi aliyovaa Moses na utulivu aliokuwa nao Moses baada ya kumuona adui yake ambaye akipatwa na mshtuko mkubwa sana ambao ulimfanya huyo mvamizi aone kuwa alikuwa akitazamana na kiumbe asiyekuwa wa kawaida ambaye muda huo alikuwa anatabasamu tu baada ya miale ya kurunzi kutua katika uso wake.

Sunday, November 20, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA SABA


                                          


 RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA



SEHEMU YA SABA!!
      "Brother kumbuka samaki hutegwa kwa chambo wala hawezi kutegwa kwa ulimbo, so we have the trap. Leopard Queen atakuambia vizuri, Panther wa pili aliongea kisha akawatazama Leopards waliobaki ambaye mmoja  alikuwa ni mwanamke mrembo sana akiwa amesimama kikakamavu 

Saturday, November 19, 2016

WAKAL WA WAGIZA SEHEMU YA SITA



 RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA



    SEHEMU YA SITA!!
          "Ninja" Yule mzee alisema na Norbert akamtazama kwa tabsamu lisiloonesha furaha, yule mzee aliiruka meza kwa sarakasi akapambane na Norbert ana kwa ana lakini Sarakasi aliyoipiga

Friday, November 18, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA TANO


 RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTEKWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA



SEHEMU YA TANO!!
  Alikata simu kisha akaihifadhi namba hiyo kwenye simu ya Josephine akamrudishia  huku akiwa anatabasamu.

Thursday, November 17, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA NNE



        
 RIWAYA: WAKALA WA GIZA


MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




                     SEHEMU YA NNE!!
      Wakati Moses akiwa anaongea na msaidizi ilikuwa tayari ni mida ya saa tisa na nusu ambao ni muda kutoka kazini kwa baadhi ya wafanyakzi wa mashirika mbalimbali, Norbert muda huo alikuwa yupo ndani ya gari yake aina ya suzuki Escudo akiwa ameegesha kando ya barabara akionekana alikuwa navuta subira ya jambo ambalo lilimfanya awepo hapo.

Wednesday, November 16, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA TATU



     

 RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

       SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




     SEHEMU YA TATU!!

           "nafikiri tu..." Moses aliongea lakini alishindwa kumalizia kauli yake baada ya simu ya Norbert kuita, Norbert alizuia Moses asiongee kisha akapokea simu akasikiliza bila kusema kitu hadi ikakatwa.

     Aliirudisha aliweka simu yake kisha katikitisa kichwa chake  halafu akavuta pumzi kwa nguvu akaiachia akmtazma Moses.

Tuesday, November 15, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA PILI





 RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA



    SEHEMU YA PILI!!

     Mzee huyu ulipofunguliwa mlango alionesha kutojali ndiyo alijigeuza upande wa ukutani wa godoro alilolalia akionesha ni kiburi sana. Jambo hilo lilimuudhi sana askari aliyefungua mlango hadi akmfuata akampiga rungu la kwenye paja lilomfanya mzee huyo augulie maumivu kisha akamvuta kwa nguvu.

Monday, November 14, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA KWANZA




    RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843



SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA

Sunday, November 13, 2016

TANGAZO! TANGAZO!

imehamishiwa facebook





     Tuwaombe radhi kwanza kwa kuwa kimya sana kwa kipindi kirefu, kilichosababisha Riwaya ya SHUJAA ikwame muendelezo wake. Ndugu  Mashabiki wetu hivi sasa tumerejea tena kwa nguvu kubwa, tukiwa na riwaya hii mpya kabisa.

    Riwaya iliyokuwa hapo awali, hivi sasa itahamishiwa Facebook kwenye ukurasa wetu wa Riwaya Maridhawa.  

   Huko imeanza upya na itaendelea hadi ilipoishia huku, ukihitaji kuifuatilia unaombwa kwenda kwenye ukurasa wetu huko. Utaweza kuianza upya hadi iliposhia, hujachelewa sana hivi sasa ipo sehemu ya 10.