Saturday, December 31, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA THELATHINI




RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________


SEHEMU YA THELATHINI!!

Kulikuwa na barabara iliyokuwa ikitoka barabara ya magari kwa urefu wa mita thelathini ndipo ulifikie lango hilo lililokuwa na mataa pamoja na mlango mwingine mdogo unaotumika kwa watu wanaoingi kwa miguu. Mazingira yake na jinsi ukuta ulivyokuwa mrefu ndiyo ulimpa hamasa Norbert

Friday, December 30, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA ISHIRINI NA TISA






RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________


SEHEMU YA ISHIRINI NA TISA!!
                "Kila kitu mipango tu mama Jerry ngoja kibarua kiishe halafu tutaongea vizuri" Norbert aliongea muda huo tayari alikuwa ameshamaliza kula, alinyanyuka kwenye kiti chake akaenda mahali lilipo eneo maalum ya kunawia mikono akanawa kisha karudi mezani abapo alimpiga busu Norene la shavuni.
   

Thursday, December 29, 2016

MJUE PROFESSA PENINA MHANDO MLAMA




MJUE PROFESSA PENINA MHANDO MLAMA


 
Professa Penina Mhando Mlama


      Awamu nyingine ya kipindi chetu cha Msanii wetu  katika  blogu yetu Maridhawa, ni wajibu wetu kukujulisha juu ya watu muhimu kwenye fasihi hii ya lugha ya Kiswahili. Ambao wana mchango mkubwa kisanaa na hadi kitaaluma. Hakika Tanzania ni yenye hazina nyingi katika Sanaa amabazo zimekuwa hazijulikani miongoni mwa Watanzania wenyewe, au hata Wanafasihi wa kizazi hiki

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE







RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________


SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE!!
.
       "What! Kamudu msaliti ni wewe!" Rais Zuber aliongea kwa mshangao alkini alijikutra akinyoosha mikono juu haraka baada ya Kamudu kumuelekezea bastola yake aina ya revolver yenye uwezo mkubwa sana, watu wote waliomo humo ndani nao walitoa silaha zao wakamuelekezea Kamudu. Kamudu aliishikilia bastola hiyo kisha akamtazama kila mmoja aliyekuwa amemuolekezea bastola, alimeza funda moja la mate kisha akakaza mikono yake barabara na kidole kkwa kimeshika kifyatulio.

Wednesday, December 28, 2016

SEHEMU YA ISHIRINI NA SABA



RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________


SEHEMU YA ISHIRINI NA SABA!!
    Walikuwa wakiongea na kucheka kwa furaha sana kila walipokuwa wakiiangalia Luninga jinsi ilivyokuwa ikirusha matangazo juu ya kinachoendelea Magogoni. Hakika hatua ya ushindi wa mwisho ndiyo waliiona ilikuwa wakiikariia kuifikia na vikwazo vilikuwa vikiondoka kimoja baada ya kingine, walibadilisha chaneli mbalimbali za luninga bado habari ilikuwa ni ileile hata walipoweka chaneli za nje ya nchi.
    

Tuesday, December 27, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA




RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________



SEHEMU  YA ISHIRINI NA SITA!!
                 "nasema niachie mimi huyu mshenzi nimtie adabu" Benson aliongea kwa hasira huku akilia.
                  "Come on Benson huyu reporter ana kosa gani?!" Thomas alimuuliza kwa sauti ya juu, muda huo huo saa ya Norbert iliyokuwa ipo mikononi mwa Santos ilitoa mlio kisha ikawaka taa

Monday, December 26, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO



RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________



SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO!!
              "N001 ndiye aliyemuua Benjamin wangu" Josphine alijibu huku akijifuta machozi, kisha akaanza kufikiria tukio zimalililotokea hadi Benjamin akauawa na Norbert. Alikumbuka busurefu alilopigwana Norbert kabla hajapigwa na kitako cha bastola, maneno aliyomuambia yalijirudia kwenye kichwa chake na hapo ndipo hasira dhidi ya Norbert ilipozidi akbaki akihema.
    

Sunday, December 25, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE


HERI YA CHRISMAS  KWA MASHABIKI WETU WOTE WENYE  KUSHEREKEA SIKUKUU HIII

RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________



SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE!!!
Alipomaliza kuumwaga unga wote chini alimtazama Richard ambaye alikuwa hana fahamu kisha akaachia tabasamu, alirudisha macho yake kwenye kioo cha simu na kukuta ule unga ulikuwa

Saturday, December 24, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA ISHIRINI NA TATU






RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________




SEHEMU YA ISHIRINI NA TATU!!                                                                                                                                

     Majira ya saa tisa kasoro robo misafara hiyo tayari ilikuwa imeshawasili katika eneo la Pugu ambalo kulikuwa kumefungwa maturubai na viti kwa ajili ya kuketi viongozi mbalimbali, dakika kumi baadaye gari lililobeba mwili wa Jenerali Kulika liliwasili na watu aote walisimama wakati jeneza liliwa linashushwa ndani ya gari hilo. Maaskari wa JWTZ walewale wenye vyeo vya Brigadia jenerali

Friday, December 23, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILI





RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA



______________+18__________________



SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILI!!

    Huduma ya kwanza kwa Josephine ilianza kutolewa kwa haraka huku mawasiliano yakifanywa kwa wakubwa zao, ndani ya dakika kadhaa tayari walikuwa wameshasambaza mawasiliano kwa wenzao wote ingawa waligwaya zaidi katika kusambaza taarifa hiyo. Kugwaya kulitokana na Wilson kuipiga namba ya mzungu aliyekuwa yupo chini ya kina Norbert ili ampatie taarifa, maneno aliyoyasikia kwenye simu hiyo yalimfanya aibamize chini kwa nguvu simu yake ya kisasa aliyoinunua kwa gharama.

              "Aaaargh! N001 Tenaa!" Wilson aliongea kwa ghdhabu pasipo kuijali simu yake ambayo ilik

Thursday, December 22, 2016

MJUE PROFESSA AMANDINA LIHAMBA



MJUE  PROFESSA AMANDINA LIHAMBA


Professa Amandima Lihamba



   Natumai mu wazima na mnaendelea vyema na majukumu ya ujenzi wa taifa. Leo  katika siku nyingine ndani ya blogu ya Maridhawa, ni vyema tukawajulisha juu ya wanafasihi katika kipindi

Sunday, December 4, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA





RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________



SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA!!

            "Usiwe na hofu Farida tutakutana siku nyingine ngoja nikupe ya matumizi, asubuhi wewe nenda chuo tu ukaendelea na masomo" Wilson aliongea huku akivaa nguo zake, alipomaliza aliingiza mkono mfukoni akatoa kitita cha pesa ambacho alimpatia Farida kisha akambusu mdomoni binti

Saturday, December 3, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA ISHIRINI




 
RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________




      SEHEMU YA ISHIRINI
    Ilikuwa ni siku maalum ya kukutana na Josphine tangu alipoagana naye kwa mara ya mwisho siku ya jumamosi, pia zilikuwa zimebaki siku tatu na masaa mawili nchi ya Tanzania iingie katika mikono ya kijeshi chini ya Luteni Jenerali Ibrahim.

Friday, December 2, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA KUMI NA TISA



 
RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________




    SEHEMU YA KUMI NA TISA!!
   Thomas na Santos walienda hadi kwenye ile teksi  wakaingia bila  taarifa, Thomas aliingia kiti  cha nyuma na Santos akaingia kiti cha mbele lakini hawakumkuta Norbert. Dereva teksi alibaki akiwashangaa wageni ambao walimtisha na alihitaji kujihami kwani ni kawaida madereva teksi kutembea na silaha kwa usalama wao, aliingiza mkono chini ya kiti chake atoe silaha kwa haraka lakini aliwahiwa na kabali ya Thomas iliyokuwa ya haraka kushinda haraka yake. Muda huo ndiyo yule mwanamke anayetafuta gunia lake lililochu

Thursday, December 1, 2016

WAKALA WA GIZA SEHEMU YA KUMI NA NANE




RIWAYA: WAKALA WA GIZA

MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA


SIMU: +255713776843
          +255762219759


WHATSAPP: +255713776843

SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA ULIMWENGU WOTE KWA KUNIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII NIKIWA NA AFYA NJEMA




______________+18__________________




SEHEMU YA KUMI NA NANE!!

    Majira saa kumi alasiri aliwasha simu yake ambayo aliizima kutokana na kazi zake, muda huo huo alianza safari ya kuiacha wilaya ya Karatu ili aende uwanja wa ndege wa Arusha aweze kurudi jijini Dar es salaam.