Monday, June 27, 2016

SHUJAA SEHEMU YA THELATHINI

RIWAYA: SHUJAA


MTUNZI: Hassan O Mambosasa

SIMU:+255713776843
+255762219759

WHATSAPP:+255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU
MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA
AFYA NJEMA ILIYONIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA
HII KWA MARA NYINGINE




SEHEMU YA THELATHINI!!
Baada ya kutoka katika eneo hilo hakuwa na mahala pengine pa kwenda zaidi ya kwenda kuzunguka katika mtaa mwingine kama mzururaji, alizunguka katika kila mitaa na hatimaye akarudi kule kwenye mtaa aabao alikuwa ameegesha gari lake. Hapo alisaini kitabu kuwa ameshachukua gari na aliamua kuondoka huku akiwa amejipongeza kwa hatua nzuri aliyokuwa amefikia ndani ya siku hiyo tangu aanze kazi yake hiyo

Sunday, June 26, 2016

SHUJAA SEHEMU YA ISHIRINI NA TISA

RIWAYA: SHUJAA


MTUNZI: Hassan O Mambosasa

SIMU:+255713776843
+255762219759

WHATSAPP:+255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU
MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA
AFYA NJEMA ILIYONIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA
HII KWA MARA NYINGINE




SEHEMU YA ISHIRINI NA TISA!!
"Poa" Moses aliitikia huku akizipokea funguo za gari, Hilary aliondoka akimuacha Moses akimaliza kujiandaa.

Saturday, June 25, 2016

SHUJAA SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE

RIWAYA: SHUJAA


MTUNZI: Hassan O Mambosasa

SIMU:+255713776843
+255762219759

WHATSAPP:+255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU
MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA
AFYA NJEMA ILIYONIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA
HII KWA MARA NYINGINE







SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE!!
"Annie rafiki yangu nimekukosea nini mimi?" Viktoria aliuliza huku akilia kwa uchungu.
"hujanikosea kitu ila mdogo wako kapenda nilipopenda ndiyo kosa lake linalokufanya uteseke, pia tabia ya kupiga makelele humu haitakiwi na nikisikia unagoma kula nakata pua hiyo. Chukua chakula na ule upesi sasa hivi" Annie aliongea kwa ukali na Viktoria akasogea hadi kwenye meza iliyopo humo chumbani akachukua chakula akaanza kula.

Friday, June 24, 2016

SHUJAA SEHEMU YA ISHIRINI NA SABA

RIWAYA: SHUJAA


MTUNZI: Hassan O Mambosasa

SIMU:+255713776843
+255762219759

WHATSAPP:+255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU
MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA
AFYA NJEMA ILIYONIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA
HII KWA MARA NYINGINE



SEHEMU YA ISHIRINI NA SABA!!

"He! Kulikoni mbona unasonya hivyo hadi humu ndani tunakusikia?" Mama Andrew alimuuliza Annie baada tu ya kuingia humo ndani na kumfanya Annie ashtuke ingawa hakuonesha kama kashtuka.
"mama huyo mwanao mimi dada yake ananigeza bibi yake kwa jinsi anavyonitania" Annie alilalamika kwa maigizo na kumfanya mama yake acheke.

Thursday, June 23, 2016

SHUJAA SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA

RIWAYA: SHUJAA


MTUNZI: Hassan O Mambosasa

SIMU:+255713776843
+255762219759

WHATSAPP:+255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU
MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA
AFYA NJEMA ILIYONIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA
HII KWA MARA NYINGINE



SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA!
Taarifa ya kutoonekana kwa binti yake aliitoa upesi katika kituo cha polisi na suala hilo likaanza kufanyiwa kazi upesi, hadi saa tano usiku inaingia Mzee Bernard hakuwa amelala na wala hakuwa amekula kutokana na suala hilo. Alikuwa yupo nyumbani kwake na kundi kubwa la maaskari walikuwa wakifanya mahojiano na familia yake, mitambo ya kipolisi iliunganishwa na tarakilishi baada ya juhudi zote kugonga mwamba na zoezi la kutafuta mahali simu ilipo kwa kutumia GPS  (Global positioning system) ndiyo likafuata baada ya askari wa jeshi la polisi kubainishiwa simu ya Viktoria ilikuwa imeunganishwa na GPS.

Wednesday, June 22, 2016

SHUJAA SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO

RIWAYA: SHUJAA
MTUNZI: Hassan O Mambosasa
SIMU:+255713776843
+255762219759
WHATSAPP:+255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA AFYA NJEMA ILIYONIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA HII KWA MARA NYINGINE





SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO!!
 Annie alipoona kile alichoekewa na Moses alijikutaanakaa chini kwenye zulia la sebuleni hapo bilakujitambua, alibaki akiwa anakodolea luninga hukuakiwa haamini kwa kile alichokiona.


Tuesday, June 21, 2016

SHUJAA SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE

RIWAYA: SHUJAA


MTUNZI: Hassan O Mambosasa

SIMU:+255713776843
+255762219759

WHATSAPP:+255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU
MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA
AFYA NJEMA ILIYONIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA
HII KWA MARA NYINGINE




SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE!!
Alibiringita hadi pembeni ya ukuta wa nyumba kisha akatulia gizani kwa nusu dakika akiangalia mazingira yalivyo, aliporidhika pako kimya akasogea taratibu ulipo mlango  wa kuingilia ndani kisha akanyonga kitasa cha mlango huo taratibu lakini ulionekana umefungwa kwa ndani. Mlango huo ulionekana ulikuwa umefungwa kwa ndani na ikamlazimu atumie ufunguo malaya kufungulia mlango huo kisha akaingia ndani baada ya mlango kufunguka, aliufunga vile kisha akaanza kutembea taratibu kwani ndani kulikuwa na giza kutokana na taa kuzimwa.

Monday, June 20, 2016

MJUE PROFESSA ABDULRAZAK GURNAH

Abdulrazak Gurnah(kazaliwa 1948)




    Siku nyingine tena baada ya kurudi kwa nguvu nyingi mno tangu tulipopata changamoto za hapa  na pale ambazo zimetuweka nje ya fani yetu kwa muda mrefu mno. Leo hii  na kuendelea kwa kila jumatatu ndani ya

NSUNGI

RIWAYA:  NSUNGI
MTUNZI; HASSAN O MAMBOSASA
MAHALI: TANZANIA





       SURA YA KWANZA


******KIONJO*****


Nuru pekee iliyoonekana kuangaza anga ilikuwa ni Mbalamwezi kutokana na kuwepo kwa kiza kizito sana, ilikuwa ni majira ya usiku sana katika eneo la makaburini sehemu yenye mti mkubwa sana. Mti huo ulijenga mazingira  ya kutisha katika muda huo wa usiku , kutisha kwa mazingira hayo hakukuwafanya waliopo eneo hilo  kutishika na giza hilo la makaburini

SHUJAA SEHEMU YA ISHIRINI NA TATU

RIWAYA: SHUJAA


MTUNZI: Hassan O Mambosasa

SIMU:+255713776843
+255762219759

WHATSAPP:+255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU
MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA
AFYA NJEMA ILIYONIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA
HII KWA MARA NYINGINE


SEHEMU YA ISHIRINI NA TATU!!

Baada ya nusu saa tangu azinduke mlango wa chumba hicho ulifunguliwa na taa zikawaka Norbert aliingia akiwa na uso wenye tabasamu, Scott alipomuona alishutuka sana hadi Norbert mwenyewe akagundua.
"hatimaye upo katika uwanja wangu wa nyumbani Scott" Norbert aliongea huku akitabasamu.
"Kaila wewe ni mwandishi wa habari msafi utanikamataje hapa wakati nimekuja kuisadia nchi yenu" Scott aliongea.

Friday, June 17, 2016

SHUJAA SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILI



 RIWAYA: SHUJAA


MTUNZI: Hassan O Mambosasa

SIMU:+255713776843
+255762219759

WHATSAPP:+255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU
MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA
AFYA NJEMA ILIYONIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA
HII KWA MARA NYINGINE




SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILI!!

Dereva teksi huyu aliongeza mwendo na alipokaribia Tegeta alivua kiatu cha mguu wa kushoto  makusudi, hali ya hewa ya humo ndani ilibadilika ghafla ikawa ni harufu ya uvundo mzito iliwa imetawala.
"mmh! Gari yako iko nuka harufu baya baya" Scott aliongea kiswahili kibovu cha kuigiza huku akibana pua kutokana na harufu hiyo.
"Usijali bosi ngoja nikuwekee airfresh kuiondoa hiyo" Dereva aliongea huku akifungua mkebe uliokuwa pembeni yake akatoa chupa ya uturi wa kuweka harufu nzuri  katika gari, aliupuliza ule uturi sehemu mbalimbali hadi harufu za uvundo wa viatu ikatoka.
"bosi hapo vipi?" Alimuuliza Scott baada ya kupuliza uturi huo.
"hapo safi kabi.." Scott alijibu lakini alidhindwa kumalizia sentensi yake akajikuta amepitiwa na usingizi mzito wa ghafla.
"Scott umekwisha wewe" Dereva wa teksi aliongea huku akizidi kuongeza mwendo wa gari kuitafuta Mbezi akiiacha Tegeta.

Thursday, June 16, 2016

SHUJAA SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA





 RIWAYA: SHUJAA


MTUNZI: Hassan O Mambosasa

SIMU:+255713776843
+255762219759

WHATSAPP:+255713776843


SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU
MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA
AFYA NJEMA ILIYONIWEZESHA KUANDIKA RIWAYA
HII KWA MARA NYINGINE



SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA!!

 Baada ya dakika ishirini ving'ora vya magari ya polisi vilianza kusikika vikitokea niia iendayo Mwenge, viliposikika kwa karibu vijana hawa wa makundi yote mawili walipanda magari wakatokea kuelekea njia iendayo Bagamoyo kwa kasi sana. Baada ya wao kuondoka yule kijana aliyewasaidia kina Moses alinyanyua kiti cha dereva akakiweka sawa kisha akawasha gari.
"msiinuke kaeni hivyohivyo maana hii ni hatari kwenu" Aliwaambia kina Moses ambao walianza kuinua vichwa vyao juu, Yule kijana aliweka gia kisha akatembea  pembeni ya barabara hadi akalivuka eneo la tukio. Aliingiza gari barabarani kisha akaondoka kuelekea Mwenge baada ya kuliacha mbali eneo ambalo awali liligeuka uwanja wa vita.