Thursday, February 1, 2018

TENDAGURU SEHEMU YA SITA


RIWAYA: TENDAGURU
NA: HASSAN O MAMBOSASA
MAHALI: TANZANIA NA MAREKANI



<><><>SEHEMU YA  SITA<><><>


     Aliwasili langoni ambapo kuna walinzi waliyokuwa na kifaa maalum cha kukagua, hapo walimkagua  kuhakikisha hakuwa na hatari yeyote ile. afisa kutokana na ukaguzi wa hapa aliamua kuacha silaha yake garini, hivyo anajitosa mikono mitupu.


Sunday, September 3, 2017

HABARI NJEMA KWA WALE AMBAO HAMKUWAHI KUIMALIZA SHUJAA







Habari za muda huu,

   Hii ni kwa wale wenye simu janja za androiid, riwaya ambayo haikuweza kumalizika kwenye blogu hii . Hivi sasa inapatikana huko hadi mwisho, ni wewe na maamuzi yako ndiyo kunaweza kukuzuia usiweze kuisoma riwaya hii ikiwa unayo simujanja.

Friday, August 18, 2017

TENDAGURU SEHEMU YA TANO






RIWAYA: TENDAGURU
NA: HASSAN O MAMBOSASA
MAHALI: TANZANIA NA MAREKANI





<><><>SEHEMU YA TANO<><><>

Hilo lilikuwa ni zao la kupigana mabusu mbele ya kumbe huyu mwenye miguu mwili asiyejua kuachia nyama yeyote, hapo ndipo wakajiweka huria zaidi hata alipokuja kuketi Mtu mwingine aliye na mwili mkubwa wala hawakujali lolote wao walitulia tu. Hakuna aliyempelekea jicho mtu huyo mwenye asili ya barani ulaya aliyevaa fulana iliyobana pamoja na suruali aina ya jeans


_

Thursday, August 17, 2017

TENDAGURU SEHEMU YA NNE





RIWAYA: TENDAGURU
NA: HASSAN O MAMBOSASA
MAHALI: TANZANIA NA MAREKANI




<><><>SEHEMU YA  NNE<><><>


"Huu ni mwanzo tu nyinyi, tena ninaanza na wewe jioni ya leo" Alisema huku  akiweka alama kwenye jina mojawapo ambalo lipo juu kabisa ya karatasi yake, alipomaliza kuiweka tu hilo jina barua pepe iliiingia kwenye tarakilishi yake na kutoa mlio kutokana na kuiweka proramu maalum ya baruapepe.

"Enheee!" Alijisemea