Thursday, February 1, 2018

TENDAGURU SEHEMU YA SITA


RIWAYA: TENDAGURU
NA: HASSAN O MAMBOSASA
MAHALI: TANZANIA NA MAREKANI



<><><>SEHEMU YA  SITA<><><>


     Aliwasili langoni ambapo kuna walinzi waliyokuwa na kifaa maalum cha kukagua, hapo walimkagua  kuhakikisha hakuwa na hatari yeyote ile. afisa kutokana na ukaguzi wa hapa aliamua kuacha silaha yake garini, hivyo anajitosa mikono mitupu.