Sunday, September 3, 2017

HABARI NJEMA KWA WALE AMBAO HAMKUWAHI KUIMALIZA SHUJAA







Habari za muda huu,

   Hii ni kwa wale wenye simu janja za androiid, riwaya ambayo haikuweza kumalizika kwenye blogu hii . Hivi sasa inapatikana huko hadi mwisho, ni wewe na maamuzi yako ndiyo kunaweza kukuzuia usiweze kuisoma riwaya hii ikiwa unayo simujanja.